Saturday, September 6, 2014

BAADA YA KUAIBISHWA KWENYE KOMBE LA DUNIA,NEYMAR AIFUTA MACHOZI BRAZIL





                                                 Neymar akipongezwa baada ya kuing'arisha Brazil
MSHAMBULIAJI Neymar,amefunga goli pekee zikisalia dakika 7 mpira kwisha,mbele ya kocha mpya wa Brazil,Dunga,akiisambaratisha Colombia iliyokuwa na wachezaji 10 uwanjani baada ya mmoja kuzawadiwa kadi nyekundu.

Mshambuliaji huyo wa Barcelona,alifunga bao hilo kwa mkwaju huru na kuifanya Brazil waliokuwa nyumbani kuandika ushindi wa kwanza tangu walipomaliza katika nafasi ya nne kwenye michuano ya kuwania kombe la dunia iliyomalizika nchini mwao.

Colombia walisalia wachezaji 10 katika ilipofika dakika ya  49,baada ya mchezaji wao, Juan Cuadrado ,kutolewa nje na mwamuzi kwa kucheza rafu.

Katika mchezo huo,mshambuliaji mpya wa Manchester United Radamel Falcao aliyeanzia benchi ,alishindwa kuonesha makeke yake na kujikuta akucheza kwa muda wa dakika 13 tu wa Colombia kuamua kumtoa nje.

VIKOSI VYA MCHEZO HUO JANA


Brazil

  • 01 Jefferson
  • 06 Filipe Luis
  • 04 David Luiz (Marquinhos - 80' )
  • 03 Miranda
  • 02 Maicon
  • 17 Luiz Gustavo Booked (Fernandinho - 45' )
  • 19 Willian (de Barros Ribeiro - 72' )
  • 11 Oscar (Coutinho - 72' )
  • 08 Ramires Booked (Mendes Trindade - 45' )
  • 10 Neymar
  • 09 Tardelli (Robinho - 77' )

Substitutes

  • 05 Fernandinho
  • 07 Robinho
  • 12 Barbosa
  • 13 Marquinhos
  • 14 Nascimento Silva
  • 15 Marcelo
  • 16 Danilo
  • 18 de Barros Ribeiro
  • 20 Goulart Pereira
  • 21 Coutinho
  • 22 Mendes Trindade

Colombia

  • 01 Ospina
  • 18 Zuñiga Booked (Mejía - 73' )
  • 02 Zapata
  • 23 Valdés Booked
  • 07 Armero
  • 05 Leão Ramírez (Arias - 45' )
  • 10 Rodríguez (Falcao - 77' )
  • 06 Sánchez Booked (Ramos - 85' )
  • 11 Cuadrado Dismissed after an earlier booking
  • 21 Martínez (Guarín - 65' )
  • 19 Gutiérrez Booked (Bacca - 65' )

Substitutes

  • 04 Arias
  • 08 Aguilar
  • 09 Falcao
  • 12 Vargas
  • 13 Guarín
  • 15 Quintero
  • 16 Balanta
  • 17 Bacca
  • 20 Ramos
  • 22 Muriel
  • 24 Ibarbo
  • 25 Mejía
  • 26 Carbonero


No comments:

Post a Comment