Tuesday, August 5, 2014

KOCHA VAN GAAL ATANGAZA VITA LIGI KUU ENGLAND



Klabu ya Manchester United imekamilisha ziara yake ya maandalizi ya michuano ya ligi kuu soka ya England kwa kutoa onyo kwa mahasimu wao Liverpool baada ya kuwatandika mabao 3-1,na kufanikiwa kutwaa taji la International Champions Cup.
Klabu ya Manchester United imekamilisha ziara yake ya maandalizi ya michuano ya ligi kuu soka ya England kwa kutoa onyo kwa mahasimu wao Liverpool baada ya kuwatandika mabao 3-1,na kufanikiwa kutwaa taji la International Champions Cup.

No comments:

Post a Comment