Neymar akipongezwa baada ya kuing'arisha Brazil
MSHAMBULIAJI Neymar,amefunga goli pekee zikisalia dakika
7 mpira kwisha,mbele ya kocha mpya wa Brazil,Dunga,akiisambaratisha Colombia
iliyokuwa na wachezaji 10 uwanjani baada ya mmoja kuzawadiwa kadi nyekundu.
Mshambuliaji huyo wa Barcelona,alifunga bao hilo kwa mkwaju huru na kuifanya
Brazil waliokuwa nyumbani kuandika ushindi wa kwanza tangu walipomaliza katika
nafasi ya nne kwenye michuano ya kuwania kombe la dunia iliyomalizika nchini
mwao.
Colombia walisalia wachezaji 10 katika ilipofika dakika ya 49,baada ya mchezaji wao, Juan Cuadrado ,kutolewa
nje na mwamuzi kwa kucheza rafu.
Katika mchezo huo,mshambuliaji mpya wa Manchester United Radamel Falcao
aliyeanzia benchi ,alishindwa kuonesha makeke yake na kujikuta akucheza kwa
muda wa dakika 13 tu wa Colombia kuamua kumtoa nje.
VIKOSI VYA MCHEZO HUO JANA
Brazil
- 01 Jefferson
- 06 Filipe Luis
- 04 David Luiz (Marquinhos - 80' )
- 03 Miranda
- 02 Maicon
- 17 Luiz Gustavo Booked (Fernandinho - 45' )
- 19 Willian (de Barros Ribeiro - 72' )
- 11 Oscar (Coutinho - 72' )
- 08 Ramires Booked (Mendes Trindade - 45' )
- 10 Neymar
- 09 Tardelli (Robinho - 77' )
Substitutes
- 05 Fernandinho
- 07 Robinho
- 12 Barbosa
- 13 Marquinhos
- 14 Nascimento Silva
- 15 Marcelo
- 16 Danilo
- 18 de Barros Ribeiro
- 20 Goulart Pereira
- 21 Coutinho
- 22 Mendes Trindade
Colombia
- 01 Ospina
- 18 Zuñiga Booked (Mejía - 73' )
- 02 Zapata
- 23 Valdés Booked
- 07 Armero
- 05 Leão Ramírez (Arias - 45' )
- 10 Rodríguez (Falcao - 77' )
- 06 Sánchez Booked (Ramos - 85' )
- 11 Cuadrado Dismissed after an earlier booking
- 21 Martínez (Guarín - 65' )
- 19 Gutiérrez Booked (Bacca - 65' )
Substitutes
- 04 Arias
- 08 Aguilar
- 09 Falcao
- 12 Vargas
- 13 Guarín
- 15 Quintero
- 16 Balanta
- 17 Bacca
- 20 Ramos
- 22 Muriel
- 24 Ibarbo
- 25 Mejía
- 26 Carbonero



