KATANGA BLOG

oooooooo

  • Home
  • About Us
  • Contact Us
  • HISTORIA ZA WACHEZAJI WA NDANI
  • UCHAMBUZI WA MICHEZO
  • HABARI ZINGINE

Saturday, August 16, 2014

MERTESACKER,AWAFUATA KINA PHILIP LAHM,MIROSLAV KLOSE-KUSTAAFU TIMU YA TAIFA


Beki wa Ujerumani-Per Mertesacker,amestaafu kuitumikia timu yake ya taifa,na kuwa mchezaji wa tatu wa kombe la dunia kutundika daruga katika majukumu ya taifa.

Mertesacker,ametangaza uamuzi huo wa kustaafu katika mahojiano na kituo kimoja cha Televisheni cha ZDF jana Ijumaa,baada ya miaka kumi yenye mafanikio ya kuitumikia timu ya taifa ya ujerumani.

Nimeamua kustaafu ,amenukuliwa Mertesacker akiteta na TV hiyo ya ZDF,ni jambo muhimu sana kwangu kustaafu kwa mafanikio kama haya baada ya kunyakua kombe la dunia huko nchini Brazil.

Ameweka historia ya kuitumikia ujerumani mechi 104,na sasa ameungana na wenzake kama Philip Lahm pamoja na mkongwe Miroslav Klose,ambao nao wameachana na majukumu hayo ya taifa tangu ujerumani ilipoinyuka Argentina bao 1-0 na kunyakua taji hilo la dunia kwa mara ya kwanza tangu mwaka 1990.


at Saturday, August 16, 2014
Email ThisBlogThis!Share to XShare to FacebookShare to Pinterest

No comments:

Post a Comment

Newer Post Older Post Home
Subscribe to: Post Comments (Atom)

IDADI YA WATEMBELEAJI

BLOG MARAFIKI

  • SALEH JEMBE
    HII NDIYO SIRI YA MABAO YA OKWI NA KAGERE
    6 years ago
  • EDDY BLOG

ZILIZOSOMWA SANA

  • STURRIDGE:NIMEVUNJIKA MOYO KUTOITUMIKIA ENGLAND
                                                                              Sturridge Mshambuliaji Daniel Sturridge,amesema amevu...
  • BAADA YA KUAIBISHWA KWENYE KOMBE LA DUNIA,NEYMAR AIFUTA MACHOZI BRAZIL
                                                     Neymar akipongezwa baada ya kuing'arisha Brazil MSHAMBULIAJI Neymar,amefun...
  • RAIS WA REAL MADRID AKANUSHA KUWA NA UGOMVI NA RONALDO
                                      Rais wa Madrid Florentino Perez akiwa na Ronaldo Rais wa klabu ya Real madridi FLORENTINO PEREZ ...
  • IBRAHIMOVIC AVUNJA REKODI YA UPACHIKAJI MABAO
    Ibrahimovic amevunja rekodi ya Sven Rydel aliyefunga mabao 49 Sweden MSHAMBULIAJI wa PSG mabingwa wa soka nchini Ufaransa, Zl...
  • KOCHA ENGLAND ATETEA KIKOSI CHAKE
                                            kocha Roy akiwapa maelekezo wachezaji wake Kocha wa timu ya taifa ya England ROY HODGSON ame...

TUFUATE KWENYE TWITTER

Tweets by @KatangaBlog

Listen TO CLOUDS FM


Awesome Inc. theme. Powered by Blogger.