Sunday, August 17, 2014

MOYES:SIKUPEWA MUDA WA KUTOSHA UNITED

                                          Alex Ferguson akiwa na David Moyes

ALIYEKUWA kocha wa Manchester United David Moyes,anaamini kwamba hakupewa muda wa mutosha kuiongoza klabu hiyo kabla ya kufukuzwa.


 Moyes alichukua mikoba ya kuifundisha United toka mikononi mwa kocha wa heshima Sir Alex Ferguson mwezi julai mwaka jana na kufungashiwa virago mwezi April baada ya kuiweka Timu katika nafasi ya saba kwenye msimamo wa ligi.


Nimekuwa nikiongeza mara nyingi na Alex Ferguson tangu nilipofukuzwa nikizungumza naye kuhusu muda mchache niliopewa kukaa na kikosi,na akafafanua kuhusu hilo na amekubali kuwa ni kweli nafasi hiyo ilikuwa ngumu mno ikisababishwa pia na kukosa kuungwa mkono na mashabiki waliokuwa akiyatolea macho matokeo pekee.

 

No comments:

Post a Comment