Mshambuliaji wa Manchester United Wayne Rooney, ameanza
kufurahia nafasi yake ya kuwa nahodha katika timu ya taifa England,baada ya
usiku wa jana kuipatia goli timu yake dhidi ya Norway,katika mchezo wa kirafiki kujiandaa na patashika
ya Euro 2016 .
Rooney alifunga bao hilo la pekee na kuamsha matumaini ya
kikosi hicho cha kocha Roy Hodgson,ambaye aliondolewa mapema sana katika
michuano yakombe la dunia huko Brazil.
MATOKEO MENGINE HIYO JANA……..
Palestine
|
(1 - 4)
|
Myanmar
|
|||||
Philippines
|
5 - 1
|
Chinese Taipei
|
|||||
Russia
|
4 - 0
|
Azerbaijan
|
|||||
Lithuania
|
1 - 1
|
United Arab Emirates
|
|||||
Ukraine
|
1 - 0
|
Moldova
|
|||||
Latvia
|
2 - 0
|
Armenia
|
|||||
Denmark
|
1 - 2
|
Turkey
|
|||||
Czech Republic
|
0 - 1
|
USA
|
|||||
Germany
|
2 - 4
|
Argentina
|
|||||
Ireland
|
2 - 0
|
Oman
|
|||||
England
|
1 - 0
|
Norway
|
|||||
Morocco
|
0 - 0
|
Qata
|

No comments:
Post a Comment